Monday, July 11, 2011

Je unajua kilichomkuta mnyama juzi

mnyama wakati akijipigia debe siku moja kabla

Ha ha ha ha hichi ndicho kilichomkuta,kumbe demu mke wa mtu alafu mumewe mmasai.

siku ya jumapili ndani ya viwanja vya jangwani ilikuwa ni shamra shamra,nderemo na vifijo baada ya mnyama kuchinjwa hadharani ndani ya uwanja mpya wa taifa jijini Dar es saalam, goli moja tu la kichwa kipindi cha pili za dakika za nyongeza lililotiwa kimiani na njema ya miraba minne kama sio sita na kuipa yanga african sports club ubingwa wao wa mara ya pili wa kombe la CECAFA, haya simba aliomba kupewa,yanga akamhakikishia yeye tu na spidi yake na matokeo yake simba kapakatwa pub,Hongera yanga FC.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...